
Swali: "Je, Yesu ndiye njia ya pekee ya Mbinguni?"
Jibu: Mimi ni mtu mzuri, kwahivyo nitaenda Mbinguni. “Sawa, kwahivyo nafanya mambo mabaya, lakini zaidi nafanya mambo mazuri, kwahivyo nitaenda Mbinguni.” Mungu hatanipeleka Jehanamu kwasababu siishi kulingana na Bibilia. Nyakati zimebadilika!’’ “Watu wabaya pekee kama